KAMA MUNGU ANAJIBU MAWAZO KWANINI TUNAOMBA??
KAMA MUNGU ANAJIBU MAWAZO KWANINI TUNAOMBA ?? Na: Minister Mathayo Sudai Bwana asifiwe karibu tujifunze tena hapa... Katika somo la nyuma tulijifunza kwamba Mungu ANAJIBU MAWAZO YAKO SIYO MANENO YAKO... Kama hujalipitia somo hili ni vizuri ukalipitia ili ukija Kuendelea uwe unaelewa vizuri... Bofya link hii hapa kwa somo hilo kabla hujaendelea na hili👇👇 https://elimuyabiblia.blogspot.com/2025/03/mungu-anajibu-mawazo-yako-siyo-maneno.html Kama umeshaelewa njoo tuendelee... Tuliishia kwenye kujiuliza 👉Kama ni hivyo kwamba Mungu anajibu mawazo Kuna haja gani ya kuomba??? 👉Je nikiwa nawaza tu pekeyake si inatosha mimi kupata majibu?? Lakini tukasema Jibu ni kwamba Japo kuwa Mungu ameyajibu mawazo yako lakini majibu yako hutayapata mkononi mwako mpaka utakapoomba(kutamka uliyokuwa unawaza) 🤔🤔 SASA Ili kuelewa hapa ni lazima tukubaliane na Biblia kwamba Mungu anapohitaji kumuhudumia mwanadamu huwa hafanyi yeye bali watumishi wake ndiyo huwa wanafanya kazi hiyo na watumish...